TRL Dar wakamata mitambo ya Dowans

Na William Mwinuka

MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), kupitia kwa dalali, Majembe Auction Mart, jana walifunga kufuli mageti ya kuingia kwenye mitambo ya kufua umeme ya Dowans iliyopo Ubungo, Dar es Salaam.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, mawakala hao walifika ilipo mitambo hiyo jana mchana, na bila kuzungumza na mtu, waliweka makufuli ya minyororo kwa madai kuwa Dowans wanadaiwa Sh bilioni 9.5 kama kodi.



Maoni

Jina

Barua Pepe

 


Logo Logo
||Mtanzania|| Bingwa|| Rai|| Dimba|| The African||
TANGAZA NASI
Click to View National Business Directory Details
Home
Maoni ya Mhariri
Habari za Kitaifa
Habari za Kimataifa
Wazo Binafsi
Makala na Barua
Udhamini
Biashara
Elimu na Jamii
Michezo
Burudani
Directory 2010
Wasiliana Nasi