September 5, 2010
HONGERA WANAHABARI |AZAKi zapewa mabilioni |Bunge lasisitiza mkataba wa TICTS uvunjwe |Mikopo ilenge wanafunzi masikini |Filamu ya Upande wa Pili wa Ndoa hadharani |Dereva kortini kwa kugonga |William Lukuvi Watanzania wako nyuma yako |Wahasibu ushirika waaswa kujijengea ujuzi wa kisasa |Mtanzania John Yuda ashinda Marekani |Elimu yetu na sekondari ya miaka miwili |Wanafunzi yatima Dar waomba wasaidiwe |Mfumuko wa bei waongezeka |Mbaroni kwa kuua mtu kwa mshale |Timu 12 tu zatinga mzunguko wa pili Moro |Serukamba asisitiza kuwatumikia wananchi |Aangua kilio kwa Jaji Ramadhani |Rehema: Kama tukiwezeshwa, wanawake tunaziweza ngumi |DC Moro kupambana na uharibifu wa misitu |Iringa kutumia bilioni 7.2/ kwa barabara |Tusipeleke majeshi yetu Darfur kuufurahisha Umoja wa Mataifa |Kesi ya Zombe kuendelea leo |Walimu tunataabika Tanzania |Waeleza kutoridhishwa na hukumu ya Ibrahim aliyempiga kofi Mwinyi |Tunazo fursa tele za kujitanua kibiashara sasa tuzitumie |RC awaonya madiwani kumzushia mkurugenzi |Sensa na umuhimu katika kupanga maendeleo |Magogo aina zote kutouzwa nchi za nje |Tunamtaka diwani wetu Kata ya Matamba |Zantel yazindua `Babkubwa Moja` |Serikali yasisitiza bajaj kutosafirisha abiria |
8920
Majarida Yetu
 
 
 
 
 
 
 
Karibu kwenye Tovuti yetu na tunaomba maoni yako.

Ghasia asulubiwa
WIMBI la shutuma nzito dhidi ya mawaziri limeendelea bungeni, baada ya Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama, kumshutumu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Menejmeti ya Utumishi wa Umma), Hawa Ghasia, kuwa kazi imemshinda.

…Hawa Ghasia ni nani?
JINA lake kamili ni Hawa Abdulrahman Ghasia. Ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Menejimenti ya Utumishi wa Umma) na Mbunge wa Jimbo Mtwara Vijijini (CCM).

SUMATRA yawaruka wamiliki wa pikipiki
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (SUMATRA), imesema haijawahi kutoa leseni kwa pikipiki za matairi mawili na matatu (Bajaj) na kwamba kuwapo kwa biashara hiyo ni kinyume na sheria.

Walimu sasa wachunguzana
CHAMA cha Walimu Tanzania (CWT), kinafanya ukaguzi wa fedha zinazopelekwa mikoani na wilayani, baada ya kuonekana tofauti kubwa kati ya hesabu za fedha zitokazo Makao Makuu na zile zanazotolewa kwenda katika matawi.

Lala salama kesi ya Zombe leo
HATUA ya mwisho ya usikilizwaji wa kesi ya mauaji ya watu wanne inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai Mkoa wa Dar es Salaam, Abdallah Zombe na wenzake tisa, inaanza leo katika Mahakama Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam na kumalizika kesho.

`Mapato ya mwenge yawekwe hadharani`
WAJUMBE wa Kata za Halmashauri ya Manispaa ya Kinondoni, wameitaka Kamati ya Maandalizi ya Mwenge wa uhuru, kutoa tathimini ya mapato na matumizi mara tu mwenge unapoondoka.

Balozi Msumbiji alia kuyumba kwa uchumi
BALOZI wa Msumbiji nchini Amour Kupela amesema mtikisiko wa uchumi duniani umeiathiri kukua kwa uchumi wa nchi yake.

Maranda aenda Mahakama Kuu
WAFANYABIASHARA Rajabu Maranda na Farijala Hussein, wanaotuhumiwa katika kesi ya wizi wa fedha kutoka Akaunti ya Malipo ya Madeni ya Nje (EPA), wamewasilisha Mahakama Kuu nia ya kukata rufaa kupinga uamuzi wa kukutwa na kesi ya kujibu, katika kesi moja wapo ya wizi wa Sh bilioni 1.8 inayowakabili.

 
 
 
 
© New Habari (2006)
Ltd. All rights reserved
Hutolewa na New Habari (2006) Ltd. S.L.P. 78235, Dar es Salaam
mtanzania@newhabari.com