Rai

Rai
Hakuna Mzanzibari aliyezuiwa kutoa maoni PDF Print E-mail
Imeandikwa na Na Jabu Amour Jabu, Zanzibar   
Alhamisi, Mei 03, 2012 00:00

NIMESOMA makala zilizoandikwa na  baadhi ya waandishi kwenye baadhi ya magazeti wakidai kuwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohammed Shein amesema atapambana na Jumuiya za kidini zinazowaelimisha wananchi ili kujiandaa kutoa maoni yao juu ya mchakato wa uundwaji wa Katiba mpya.

Mara ya mwisho imehaririwa Jumatatu, Mei 07, 2012 09:56
Habari kamili...
 
Umoja wa Ulaya na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar PDF Print E-mail
Imeandikwa na Na Juma Mohammed, Zanzibar   
Alhamisi, Mei 03, 2012 00:00

Leo tunaendelea na mjadala wetu kuhusu Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa muktadha wa kutazama  muundo wa Umoja wa Ulaya (EU).

Mara ya mwisho imehaririwa Jumatatu, Mei 07, 2012 09:56
Habari kamili...
 
Mawaziri watoke nje ya Bunge PDF Print E-mail
Imeandikwa na Prince M. Bagenda   
Alhamisi, Mei 03, 2012 00:00

WAKATI umefika sasa kwa Watanzania kurejea katika mifumo ya utawala tuliyorithi na kujiuliza kama inatufaa.

Mara ya mwisho imehaririwa Jumatatu, Mei 07, 2012 09:58
Habari kamili...
 
Tibaijuka tone moja lisikuchafulie kanzu PDF Print E-mail
Imeandikwa na Alexander Joseph   
Alhamisi, Mei 03, 2012 00:00

WAZIRI Anna Tibaijuka; Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi. Nianze kwa kukupongeza. Sipendi kuwa mchoyo wa pongezi hizi. Nakupongeza kwa sababu, vikao vya bunge vilivyopita, mawaziri wenzako wengi wamesutwa kiasi kwamba, wengine walikuwa wanaficha nyuso zao kwa viganja kupunguza aibu.

Mara ya mwisho imehaririwa Jumatatu, Mei 07, 2012 09:57
Habari kamili...
 
Baraza jipya si suluhu, bali utawala mpya PDF Print E-mail
Imeandikwa na Masyaga Matinyi   
Alhamisi, Mei 03, 2012 00:00

MJADALA mkuu miongoni mwa Watanzania katika kila kona ya nchi yetu ni kuhusu mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanayotarajiwa kufanywa na Rais Jakaya Kikwete, wakati wowote.

Mara ya mwisho imehaririwa Jumatatu, Mei 07, 2012 09:59
Habari kamili...
 
You are here  :